sw_tn/mat/21/23.md

359 B

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakimhoji Yesu

alipofika hekaluni

Inamaanisha kuwa Yesu hakuingia hekaluni ndani. Aliingia kwenye korido la hekalu

mambo haya

Hii inamaanisha mafundisho na uponyaji wa Yesu mle hekaluni. Pia inaweza kumaanisha tukio lililofanyika siku moja kabla la Yesu kuwafukuza wanunuzi na wachuuzi.