forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
490 B
Markdown
24 lines
490 B
Markdown
# Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?
|
|
|
|
Wanafunzi wanatumia swali kuonesha mshangao wao. "Tumeduwaa kuona kuwa ule mtiini umenyauka haraka!"
|
|
|
|
# kweli nawaambieni.
|
|
|
|
"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaonggeza msisitizo wa kile Yesu anachosema baadaye.
|
|
|
|
# kama mkiwa na imani na bila wasiwasi
|
|
|
|
kama mtaamini kwa ukweli
|
|
|
|
# kunyauka
|
|
|
|
"kukauka na kufa"
|
|
|
|
# mtauambia hata huo mlima, 'uchukuliwe na kutupwa baharini;
|
|
|
|
mtaweza kuumbia mlima huu kuondoka na kutupwa baharini"
|
|
|
|
# itafanyika
|
|
|
|
itatokea
|