sw_tn/mat/21/18.md

12 lines
259 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anatumia mtini kuwafundisha wanafunzi juu ya imani na maombi
# Sasa
Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaeleza kuwa Yesu alikuwa na njaa na ndiyo sababu anasimama kwenye ule mtini.
# ukanyauka
"ukafa"