forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
259 B
Markdown
12 lines
259 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia mtini kuwafundisha wanafunzi juu ya imani na maombi
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaeleza kuwa Yesu alikuwa na njaa na ndiyo sababu anasimama kwenye ule mtini.
|
||
|
|
||
|
# ukanyauka
|
||
|
|
||
|
"ukafa"
|