sw_tn/mat/21/18.md

259 B

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mtini kuwafundisha wanafunzi juu ya imani na maombi

Sasa

Hili neno limetumika kuonesha mwanzo wa habari mpya. Mathayo anaeleza kuwa Yesu alikuwa na njaa na ndiyo sababu anasimama kwenye ule mtini.

ukanyauka

"ukafa"