forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
954 B
Markdown
40 lines
954 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anatabiri juu ya kifo na ufufuo wake kwa mara ya tatu wakati akisafiri na wanafunzi wake
|
|
|
|
# alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu
|
|
|
|
Yesu alikuwa juu ya mlima kwa hiyo watu walipanda kwenda pale.
|
|
|
|
# Tazama tunaelekea
|
|
|
|
Yesu anatumia neno "tazama" ili kuwajengea usikivu wanafunzi wake juu kile anachotaka kuwaambia.
|
|
|
|
# tunaelekea
|
|
|
|
Kiwakilishi "tu" kinamaanisha Yesu na wanafunzi wake.
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu atatiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "mtu fulani atamtoa Mwana wa Adamu"
|
|
|
|
# mwana wa Adamu ... watamhumkumu ... ata
|
|
|
|
Yesu anaongea juu yake akitumia nafsi ya tatu. Kama inawezekana unaweza kutafsiri hii kwa kutumia nafsi ya kwanza
|
|
|
|
# Watamtoa.. ili kumdhihaki
|
|
|
|
Makuhani wakuu na waandishi watamhukumu na kumtoa kwa watu wa mataifa, na watu wa mataifa watamdhihaki.
|
|
|
|
# kumchapa
|
|
|
|
"kumchapa" au "kumpiga kwa mijeredi"
|
|
|
|
# siku ya tatu
|
|
|
|
siku ya 3
|
|
|
|
# atafufuka
|
|
|
|
Hi inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atamfufua"
|