forked from WA-Catalog/sw_tn
954 B
954 B
Sentensi unganishi
Yesu anatabiri juu ya kifo na ufufuo wake kwa mara ya tatu wakati akisafiri na wanafunzi wake
alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu
Yesu alikuwa juu ya mlima kwa hiyo watu walipanda kwenda pale.
Tazama tunaelekea
Yesu anatumia neno "tazama" ili kuwajengea usikivu wanafunzi wake juu kile anachotaka kuwaambia.
tunaelekea
Kiwakilishi "tu" kinamaanisha Yesu na wanafunzi wake.
Mwana wa Adamu atatiwa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "mtu fulani atamtoa Mwana wa Adamu"
mwana wa Adamu ... watamhumkumu ... ata
Yesu anaongea juu yake akitumia nafsi ya tatu. Kama inawezekana unaweza kutafsiri hii kwa kutumia nafsi ya kwanza
Watamtoa.. ili kumdhihaki
Makuhani wakuu na waandishi watamhukumu na kumtoa kwa watu wa mataifa, na watu wa mataifa watamdhihaki.
kumchapa
"kumchapa" au "kumpiga kwa mijeredi"
siku ya tatu
siku ya 3
atafufuka
Hi inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atamfufua"