sw_tn/mat/20/17.md

954 B

Sentensi unganishi

Yesu anatabiri juu ya kifo na ufufuo wake kwa mara ya tatu wakati akisafiri na wanafunzi wake

alipokuwa akipanda kwenda Yerusalemu

Yesu alikuwa juu ya mlima kwa hiyo watu walipanda kwenda pale.

Tazama tunaelekea

Yesu anatumia neno "tazama" ili kuwajengea usikivu wanafunzi wake juu kile anachotaka kuwaambia.

tunaelekea

Kiwakilishi "tu" kinamaanisha Yesu na wanafunzi wake.

Mwana wa Adamu atatiwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji "mtu fulani atamtoa Mwana wa Adamu"

mwana wa Adamu ... watamhumkumu ... ata

Yesu anaongea juu yake akitumia nafsi ya tatu. Kama inawezekana unaweza kutafsiri hii kwa kutumia nafsi ya kwanza

Watamtoa.. ili kumdhihaki

Makuhani wakuu na waandishi watamhukumu na kumtoa kwa watu wa mataifa, na watu wa mataifa watamdhihaki.

kumchapa

"kumchapa" au "kumpiga kwa mijeredi"

siku ya tatu

siku ya 3

atafufuka

Hi inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "Mungu atamfufua"