forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kusimulia mfano
akaenda tena
"Mmiliki wa shamba akaenda tena"
saa ya sita
saa ya sita ni sawa na sasa sita mchana. saa ya tisa ni sawa na saa tisa mchana
alifanya hivyo hivyo
Hii inamaanisha yule mmilikiwashamba alienda sokono kuaajiri atu wengine
saa ya kumi n a moja
Hii ni sawa na saa kumi na moja mchana
bila kazi
"bila kufanya chochote" au "bila kuwa na kazi yote"