sw_tn/mat/20/05.md

428 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kusimulia mfano

akaenda tena

"Mmiliki wa shamba akaenda tena"

saa ya sita

saa ya sita ni sawa na sasa sita mchana. saa ya tisa ni sawa na saa tisa mchana

alifanya hivyo hivyo

Hii inamaanisha yule mmilikiwashamba alienda sokono kuaajiri atu wengine

saa ya kumi n a moja

Hii ni sawa na saa kumi na moja mchana

bila kazi

"bila kufanya chochote" au "bila kuwa na kazi yote"