sw_tn/mat/20/03.md

361 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendela kuelza mfano

Alienda tena

"Mmiliki wa shamba alienda tena"

baada ya masaa matatu

saa ya tatu ni sawa na saa tatu asubuhi

wamesimama bila kazi katika eneo la soko

"Wamesisma eneo la soko pasipo kufanya kazi yeyote"

eneo la soko

Hili ni eneokubwa la wazi ambapowatu huuza na kununua chakula na bidhaa zingine.