forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
413 B
Markdown
16 lines
413 B
Markdown
# Wakashangaa sana
|
|
|
|
"wanafunzi wameshtushwa au kushangazwa." walishangazwa kwa sababu waliamini kuwa na utajiri ilikuwa ishara ya kukubarika kwa Mungu
|
|
|
|
# Ni nani basi atakayeokoka?
|
|
|
|
Kwa hiyo hakuna ambayae Mungu atamwokoa" au "hakuna ambaye atapokea uzima wa milele
|
|
|
|
# Tumeacha kila kitu
|
|
|
|
"tumeacha utajiri wetu wote" au "tumeacha miliki yetu yote"
|
|
|
|
# Hivyo tutapata nini?
|
|
|
|
"Kitu gani kizuri Mungu atakachotupa?"
|