sw_tn/mat/19/25.md

413 B

Wakashangaa sana

"wanafunzi wameshtushwa au kushangazwa." walishangazwa kwa sababu waliamini kuwa na utajiri ilikuwa ishara ya kukubarika kwa Mungu

Ni nani basi atakayeokoka?

Kwa hiyo hakuna ambayae Mungu atamwokoa" au "hakuna ambaye atapokea uzima wa milele

Tumeacha kila kitu

"tumeacha utajiri wetu wote" au "tumeacha miliki yetu yote"

Hivyo tutapata nini?

"Kitu gani kizuri Mungu atakachotupa?"