sw_tn/mat/19/23.md

492 B

Sentensi unganishi

Yesuanawaeleza wanafunziwake zawadi ya kutokutafuta mali ya hapa duniani na uhusianao wa kumfuata yeye.

kweli nawaambia

nawaambia ukeli. huunimsisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

kuingia katika ufalme wa mbinguni

kumpokea Mungu wa mbinguni kama mfalme wetu.

ni rahisi ... ufalme wa mbinguni

Yesu anatumia mbalagha kusisitiza kuwa ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Tundu la sindano

Tobo katika mwisho wa sindano kwa kupitishia uzi