sw_tn/mat/19/16.md

456 B

Sentensi unganishi

Yesu anaongelea habariya mtu tajiri na jinsi iwezavyo kumgharimuamafuatapo Yesu

Tazama

Mwandishi anamweka mtu mpya kwenye habari.Lugha yako inaweza kuwa na njia nyingine ya kufanya hivyo.

Kitu kizuri

kitu kinachompendeza Mungu

kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri

usiniulize juu ya kitu kilicho kizuri

kuna mmoja tu aliye mwema

"Mungu pekee ndiye mwema aliyekamilka"

kuingia uzimani

"ikupokea uzima wa milele"