sw_tn/mat/19/13.md

366 B

Sentensi unganishi

Yesu anawapokea na kuwabariki wat.oto wadogo

Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo

watu baadhi wakaleta watoto wadogo kwa Yesu

Kibali

"Ruhusu"

Msiwazuie kuja kwangu

Msiwazuie kwa kuja kwangu

Kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama hao

Mungu kuwa mfalme kwa watu anaowatawla

ni wa watu kama hao

ni wa watu kama watoto