sw_tn/mat/19/10.md

635 B

walioruhusiwa

wale ambao Mungu amewaruhusu au ambao Mungu huwaruhusu

kwa kuwa wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama

kwa kuwa kuna wanaume waliozaliwa kuwa matowashi

Matowashi waliojifanya matowashi

kuna matowashi waliofanywa kuwa matowashi

kuna matowashi waliojifanya kuwa matowashi

inawweza kumaanisha 1)wanaume waliojifanya wenyewe kwa kutoa sehehmu zao za siri 2) wanaume waliochagua kutokuoana ni wasafi katika swala la zinaa.

kwa ajili ya ufalme wa mbinguni

ualame wa mbinguni inamaanisha Mungu kutawala kama mfalme

Pokea mafundisho haya...pokea

Anayeweza kupokea mafundisho haya na ayapokee."