forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
635 B
Markdown
24 lines
635 B
Markdown
|
# walioruhusiwa
|
||
|
|
||
|
wale ambao Mungu amewaruhusu au ambao Mungu huwaruhusu
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama
|
||
|
|
||
|
kwa kuwa kuna wanaume waliozaliwa kuwa matowashi
|
||
|
|
||
|
# Matowashi waliojifanya matowashi
|
||
|
|
||
|
kuna matowashi waliofanywa kuwa matowashi
|
||
|
|
||
|
# kuna matowashi waliojifanya kuwa matowashi
|
||
|
|
||
|
inawweza kumaanisha 1)wanaume waliojifanya wenyewe kwa kutoa sehehmu zao za siri 2) wanaume waliochagua kutokuoana ni wasafi katika swala la zinaa.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili ya ufalme wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
ualame wa mbinguni inamaanisha Mungu kutawala kama mfalme
|
||
|
|
||
|
# Pokea mafundisho haya...pokea
|
||
|
|
||
|
Anayeweza kupokea mafundisho haya na ayapokee."
|