sw_tn/mat/19/05.md

752 B

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 5, Yesu ananukuu kutoka Mwanzo kuonesha kuwa Mume na mke hawatakiwi kuachana

Na yeyealiyewaumba pia alisema, 'kwa sababu hii ...mwili mmoja?

Huu ni mwandelezo wa swali ambal oYesu alilitumia kuwaliza Mafarisayo katika 19:3. Hii nukuu ya moja kwa moja inaweza kuelezwa kama nukuu isyo ya moja kwa moja. Kwa hakika mnajua kuwa Mungu alisema kuwa kwa sababu hii...mwili mmoja.

kwa sababu hii

sababu ya mwanamume kumwacha baba na mama ni kwamba Mungu alimuumba mwanamke kuwa msaidizi wa mwanamume

Ungana na mke wake

"Kaa na mke wake"

Na wale wawili watakuwa mwili mmoja

"watakuwa kama mwili mmoja"

Hivyo si wawili tena, bali mwili mmoja

Kwahiyo mwanamume na mwanake siwawil tena bali mwili mmoja"