sw_tn/mat/19/03.md

414 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya ndoa na talaka

wakamjia

"walikuja kwa Yesu

wakaimjaribi wakisema

kujaribu limetumika kwa maana hasi. "wakamkosoa kwa kumuuliza" au "walitaka kumkamata kwa kumuuliza"

Hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwauumba mume na mke?

Yesu anatumia swali kuwajibu Mafarisayo. "Kwa hakika mmesoma kwamba mwanzo Mungu aliwaumba watu,aliwaumba"mume na mke