forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
414 B
Markdown
16 lines
414 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kufundisha juu ya ndoa na talaka
|
||
|
|
||
|
# wakamjia
|
||
|
|
||
|
"walikuja kwa Yesu
|
||
|
|
||
|
# wakaimjaribi wakisema
|
||
|
|
||
|
kujaribu limetumika kwa maana hasi. "wakamkosoa kwa kumuuliza" au "walitaka kumkamata kwa kumuuliza"
|
||
|
|
||
|
# Hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwauumba mume na mke?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kuwajibu Mafarisayo. "Kwa hakika mmesoma kwamba mwanzo Mungu aliwaumba watu,aliwaumba"mume na mke
|