sw_tn/mat/18/34.md

937 B

Sentensi unganishi

Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi

Maelezo kwa ujumla

Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni.

Bwana wake

"Mfalme"

kumkabidhi kwa

"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi"

kwa watesaji

"kwa wale ambao wangemtesa"

alichokuwa anadaiwa

Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza"

baba yangu wa mbinguni

Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu.

mmoja wenu ... kwenu

Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote

ndugu yake

"ndugu yake"

moyoni mwenu

Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu"