sw_tn/mat/18/34.md

40 lines
937 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi
# Maelezo kwa ujumla
Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni.
# Bwana wake
"Mfalme"
# kumkabidhi kwa
"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi"
# kwa watesaji
"kwa wale ambao wangemtesa"
# alichokuwa anadaiwa
Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza"
# baba yangu wa mbinguni
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu.
# mmoja wenu ... kwenu
Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote
# ndugu yake
"ndugu yake"
# moyoni mwenu
Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu"