forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
937 B
Markdown
40 lines
937 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anamalizia mfano wake juu ya msamaha na upatanishi
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Huuni mwaisho wa shsemu y a simulizi iliyoanzia 18:1 mahali ambapo Yesu anafundisha juu ya maisha katika ufalme wa mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# Bwana wake
|
||
|
|
||
|
"Mfalme"
|
||
|
|
||
|
# kumkabidhi kwa
|
||
|
|
||
|
"alimtoa kwa" inawezekena kuwa mfalme mwenyewe hakumkabidhi yule mtumwa wa kwanza kwa watesaji," "Aliwaagiza watumwa wake wamkabidhi"
|
||
|
|
||
|
# kwa watesaji
|
||
|
|
||
|
"kwa wale ambao wangemtesa"
|
||
|
|
||
|
# alichokuwa anadaiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutafasiriwa kwa mafumo tendaji. Kile ambacho mfalme alimdai yule mtumwa wa kwanza"
|
||
|
|
||
|
# baba yangu wa mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# mmoja wenu ... kwenu
|
||
|
|
||
|
Viwakilishi vyote hivi viko katika wingi. Yesu anaongea na wanafunzi wake, lakini mfanohuu unafundisha ukweli ambao unaweza kutumiwa na waamini wote
|
||
|
|
||
|
# ndugu yake
|
||
|
|
||
|
"ndugu yake"
|
||
|
|
||
|
# moyoni mwenu
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "kwa ukweli" au "kwa ukamilifu"
|