sw_tn/mat/18/18.md

570 B

mta

viwakilishi vyote hivi viko katka wingi

Funga...fungwa...fungua...funguliwa

tazama 16:19

Itafungwa...itafunguliwa

"Mungu atafunga...Mungu atafungua."

nawaambieni

Msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

Baba yangu

Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu kinachoonesha uhusiano wa Mungu na Yesu.

kama wawili wenu

anagalau wawili

wawili au watatu

"wawili au zaidi" au "angalau wawili"

Wamekusanyika

"kutana"

waki ... wao

inamaanisha "wawili wenu"

Baba yangu

Hiki ni cheo muhimu cha Mungu kinachoonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu