sw_tn/mat/18/15.md

563 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwafundisha wanafunzi wake juuy msamaha

ndugu yao

waumini wenzake

utampata ndugu yako

"mtafanya mahusiano yenu mazuri tena na ndugu yako"

kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili ...kila neno linaweza kuthibitishwa

"mdomo" na "maneno" inamaanisha kile amabcho mtu anasema " ili kwamba wawili au watatu wanaweza kuthibitisha kile unachosema juu ya mwamini mwenzako"

Kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitika

Yesu anatumia moja katai ya sheria ambazo Musa alaiwapati watu