forked from WA-Catalog/sw_tn
595 B
595 B
Tazameni
Muwe waangalifu
musiwadharau hawa wadogo
"Msidhani kuwa hawa wadogo hawana umuhimu". onyesheni heshima kwa hawa wadogo
kwa maana nawaambia
hii inatia msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye
mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni
Yesu anammanisha kuwa malaika wa mbinguni humwambia Mungu juu ya wadogo hawa
Muda wote tazama uso wa
"wapo karibu muda wote"
siku zote wakiutazama uso wa baba yangu
kila mara wako karibu na baba yangu"
baba yangu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachonesha uhsiano kati ya Yesu na Mungu