sw_tn/mat/18/10.md

595 B

Tazameni

Muwe waangalifu

musiwadharau hawa wadogo

"Msidhani kuwa hawa wadogo hawana umuhimu". onyesheni heshima kwa hawa wadogo

kwa maana nawaambia

hii inatia msisitizo kwa kile Yesu alichosema baadaye

mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa baba yangu aliye mbinguni

Yesu anammanisha kuwa malaika wa mbinguni humwambia Mungu juu ya wadogo hawa

Muda wote tazama uso wa

"wapo karibu muda wote"

siku zote wakiutazama uso wa baba yangu

kila mara wako karibu na baba yangu"

baba yangu

Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu kinachonesha uhsiano kati ya Yesu na Mungu