forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
641 B
Markdown
32 lines
641 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anamfundisha Petro juu ya kulipa ada ya hekalu
|
|
|
|
# wakati wao
|
|
|
|
wakati yesu na wanafunzi wake
|
|
|
|
# kodi ya nusu shekeli
|
|
|
|
kodi juu ya wanaume wote wa kiyahudi ambayo ilitolewa ili kuwezesha kazi za hekaluni
|
|
|
|
# nyumba
|
|
|
|
mahali Yesu alipokaa
|
|
|
|
# Unafifkiri nini Simoni? wafalme wa dunia ...kutoka kwa wageni?
|
|
|
|
Yesu anauliza swali hili kumfundisha Simoni asitafute taarifa kutoka kwake. "Sikiliza Simoni, tunafahamu kuwawafalme wa dunia hukusanya kodi kutoka kwa wageni na wala si kwa raia wake.
|
|
|
|
# wafalme wa dunia
|
|
|
|
viongozi kwa ujumla
|
|
|
|
# Raia
|
|
|
|
watu chini ya kiongozi au mfalme
|
|
|
|
# wanaotawaliwa
|
|
|
|
watu walio chini ya mfalme
|