sw_tn/mat/17/22.md

433 B

Sentensi unganishi

Yesu anatabiri kifo chake na ufufuo

wamekaa

"wanafunzi na Yesu wamekaa"

Mwan wa Adamu Watamuua

"mmoja atamuua Mwana wa Adamu"

Mwana wa Adamu ...mwa ...watu

inamaanisha yeye yenyewe

Atafufuka

"Mungu atamfufua" au" ataishi tena"

atatiwa

atatolewa

mikononi mwa watu

mikononi inamaanisha mamlaka ya kutwala. "katika utawala wa watu

siku ya tatu

siku ya tau

atafufuka

Mungu atamfufua