sw_tn/mat/17/14.md

354 B

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya kijana aliyekuwa na roho mchafu.Tukio hili limetokea baada ya Yesu na wanafunzi wake kushuka kutoka mlimani.

umhrumie mwanangu

inamanisha kuwa yule mtu alimtaka Yesu amponye mwanae. "umhurumie mwangu na umponye"

amaekuwa na kifafa

Hii inamaanisha kuwa wakati mwingine hupoteza fahamu