forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
354 B
Markdown
12 lines
354 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya kijana aliyekuwa na roho mchafu.Tukio hili limetokea baada ya Yesu na wanafunzi wake kushuka kutoka mlimani.
|
||
|
|
||
|
# umhrumie mwanangu
|
||
|
|
||
|
inamanisha kuwa yule mtu alimtaka Yesu amponye mwanae. "umhurumie mwangu na umponye"
|
||
|
|
||
|
# amaekuwa na kifafa
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa wakati mwingine hupoteza fahamu
|