sw_tn/mat/17/14.md

12 lines
354 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Hii inaanzisha habari ya Yesu akimponya kijana aliyekuwa na roho mchafu.Tukio hili limetokea baada ya Yesu na wanafunzi wake kushuka kutoka mlimani.
# umhrumie mwanangu
inamanisha kuwa yule mtu alimtaka Yesu amponye mwanae. "umhurumie mwangu na umponye"
# amaekuwa na kifafa
Hii inamaanisha kuwa wakati mwingine hupoteza fahamu