sw_tn/mat/17/11.md

427 B

Kurudisha vitu vyote

"kuweka vitu katika mpangilio au utaratibu" au " waandae watu tayari kwa ajili kumpokea Masihi"

Lakini nawaambieni

huu ni msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

hawa .... yake

Maana zinazowezekana: 1) viongozi wa wayahudi au 2) wayahudi wote

Mwan wa Adamu atakavyoteswa

Hapa "mikono" inamaanisha nguvu. "watamfanya mwana wa Adamu kuteseka"

Mwana wa Adamu

Yesu anajineneea mwenyewe.