forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
847 B
Markdown
36 lines
847 B
Markdown
# Mwana wa Adamu...baba yake
|
|
|
|
Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama "Mwana wa mtu"
|
|
|
|
# katika utukufu wa baba yake
|
|
|
|
"kupata utukufu sawa na Baba yake"
|
|
|
|
# na malaika wake
|
|
|
|
"na malaika watakuwa pamoja naye" au "na malaika wa Baba watakuwa pamoja na mimi"
|
|
|
|
# baba yake
|
|
|
|
Hicho ni cheo kikubwa kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano wa Mungu na Mwana wa mtu, Yesu
|
|
|
|
# kweli nawambia
|
|
|
|
"Nawaambieni ukweli"
|
|
|
|
# wewe
|
|
|
|
kiwakilishi cha wingi kinachomaanisha wanafunzi wa Yesu.
|
|
|
|
# hawataonja kifo
|
|
|
|
"kuonja" inamaanisha kupitia kifo" au "hawatapitia kifo" aua "hawatakufa"
|
|
|
|
# Mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake
|
|
|
|
"Ufalme" inamaanisha Mwana Adamu akitawala kama mfalme" aua "mpaka watakapomwona wa Adamu akija kutawala kama mfalme"
|
|
|
|
# mpaka watakapomwaona
|
|
|
|
Yesu bado anaongelea wanafunzi. "mpaka mtakapomwona"
|