sw_tn/mat/16/27.md

847 B

Mwana wa Adamu...baba yake

Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama "Mwana wa mtu"

katika utukufu wa baba yake

"kupata utukufu sawa na Baba yake"

na malaika wake

"na malaika watakuwa pamoja naye" au "na malaika wa Baba watakuwa pamoja na mimi"

baba yake

Hicho ni cheo kikubwa kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano wa Mungu na Mwana wa mtu, Yesu

kweli nawambia

"Nawaambieni ukweli"

wewe

kiwakilishi cha wingi kinachomaanisha wanafunzi wa Yesu.

hawataonja kifo

"kuonja" inamaanisha kupitia kifo" au "hawatapitia kifo" aua "hawatakufa"

Mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake

"Ufalme" inamaanisha Mwana Adamu akitawala kama mfalme" aua "mpaka watakapomwona wa Adamu akija kutawala kama mfalme"

mpaka watakapomwaona

Yesu bado anaongelea wanafunzi. "mpaka mtakapomwona"