forked from WA-Catalog/sw_tn
847 B
847 B
Mwana wa Adamu...baba yake
Yesu alikuwa anajirejelea yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu kama "Mwana wa mtu"
katika utukufu wa baba yake
"kupata utukufu sawa na Baba yake"
na malaika wake
"na malaika watakuwa pamoja naye" au "na malaika wa Baba watakuwa pamoja na mimi"
baba yake
Hicho ni cheo kikubwa kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano wa Mungu na Mwana wa mtu, Yesu
kweli nawambia
"Nawaambieni ukweli"
wewe
kiwakilishi cha wingi kinachomaanisha wanafunzi wa Yesu.
hawataonja kifo
"kuonja" inamaanisha kupitia kifo" au "hawatapitia kifo" aua "hawatakufa"
Mpaka watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake
"Ufalme" inamaanisha Mwana Adamu akitawala kama mfalme" aua "mpaka watakapomwona wa Adamu akija kutawala kama mfalme"
mpaka watakapomwaona
Yesu bado anaongelea wanafunzi. "mpaka mtakapomwona"