sw_tn/mat/16/24.md

891 B

nifuate

"uwe mwanafunzi wangu" au "uwe mmoja wa wanafunzi wangu"

auchukue msalaba wake na anifuate

msalaba unawakilisha mateso na kifo. lazima anitii hata kiasi cha kufa"

, na kunifuata

"na kunitii"

Kwa yeyote atakaye

"Kwa yeyote anayetaka"

atayapoteza

Hii haimanishi kuwa yule mtu lazima afe. inamaanisha kumwamini Yesu kuwa jambo la muhimu kuliko maisha yake.

kwa ajili yangu

"kwa sababu ananiamini mimi" au " kwa sababu yangu"

atayaokoa

atapata maisha ya kweli

Ni faida gani atakayopata mtu ... akapoteza maisha yake

Haimpi mtu faida ...maisha yake

akaipata dunia yote

hakuna kitu cha thamani duniani kuliko kuishi na Mungu. " kama akipata kila kitu ulimwenguni"

lakini akapoteza maisha yake

"lakini akapoteza maisha yake"

ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake

"Hakuna kitu ambacho mtu atatoa ili kurudisha uhai wake"