forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
891 B
Markdown
44 lines
891 B
Markdown
|
# nifuate
|
||
|
|
||
|
"uwe mwanafunzi wangu" au "uwe mmoja wa wanafunzi wangu"
|
||
|
|
||
|
# auchukue msalaba wake na anifuate
|
||
|
|
||
|
msalaba unawakilisha mateso na kifo. lazima anitii hata kiasi cha kufa"
|
||
|
|
||
|
# , na kunifuata
|
||
|
|
||
|
"na kunitii"
|
||
|
|
||
|
# Kwa yeyote atakaye
|
||
|
|
||
|
"Kwa yeyote anayetaka"
|
||
|
|
||
|
# atayapoteza
|
||
|
|
||
|
Hii haimanishi kuwa yule mtu lazima afe. inamaanisha kumwamini Yesu kuwa jambo la muhimu kuliko maisha yake.
|
||
|
|
||
|
# kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ananiamini mimi" au " kwa sababu yangu"
|
||
|
|
||
|
# atayaokoa
|
||
|
|
||
|
atapata maisha ya kweli
|
||
|
|
||
|
# Ni faida gani atakayopata mtu ... akapoteza maisha yake
|
||
|
|
||
|
Haimpi mtu faida ...maisha yake
|
||
|
|
||
|
# akaipata dunia yote
|
||
|
|
||
|
hakuna kitu cha thamani duniani kuliko kuishi na Mungu. " kama akipata kila kitu ulimwenguni"
|
||
|
|
||
|
# lakini akapoteza maisha yake
|
||
|
|
||
|
"lakini akapoteza maisha yake"
|
||
|
|
||
|
# ni kitu gani atakachotoa mtu katika kubadilishana na maisha yake
|
||
|
|
||
|
"Hakuna kitu ambacho mtu atatoa ili kurudisha uhai wake"
|