forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
545 B
Markdown
20 lines
545 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anawauliza wanafunzi kama wanaelewa kuwa yeye ni nani
|
|
|
|
# Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?
|
|
|
|
"Lakini ni ninyi ninaowauliza:mnasema kuwa mimi ni nani?"
|
|
|
|
# wakati
|
|
|
|
Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa habari kuu au kumtambulisha mtu mwingine, Mathayo anaanza kueleza habari mpya.
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
|
|
|
|
# Mungu aliye hai
|
|
|
|
Hapa neno "hai" linalinganisha Mungu wa Israeli na Miungu wengine wa uongo na masananu ambayo watu waliabudu. Mungu aliye ndiye Mungu pekee mwenye nguvu za kutenda.
|