sw_tn/mat/16/13.md

20 lines
545 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anawauliza wanafunzi kama wanaelewa kuwa yeye ni nani
# Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?
"Lakini ni ninyi ninaowauliza:mnasema kuwa mimi ni nani?"
# wakati
Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa habari kuu au kumtambulisha mtu mwingine, Mathayo anaanza kueleza habari mpya.
# Mwana wa Adamu
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
# Mungu aliye hai
Hapa neno "hai" linalinganisha Mungu wa Israeli na Miungu wengine wa uongo na masananu ambayo watu waliabudu. Mungu aliye ndiye Mungu pekee mwenye nguvu za kutenda.