sw_tn/mat/16/13.md

545 B

Sentensi unganishi

Yesu anawauliza wanafunzi kama wanaelewa kuwa yeye ni nani

Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?

"Lakini ni ninyi ninaowauliza:mnasema kuwa mimi ni nani?"

wakati

Neno hili limetumika kuonesha mwanzo wa habari kuu au kumtambulisha mtu mwingine, Mathayo anaanza kueleza habari mpya.

Mwana wa Adamu

Yesu anamaanisha yeye mwenyewe

Mungu aliye hai

Hapa neno "hai" linalinganisha Mungu wa Israeli na Miungu wengine wa uongo na masananu ambayo watu waliabudu. Mungu aliye ndiye Mungu pekee mwenye nguvu za kutenda.