forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
594 B
Markdown
28 lines
594 B
Markdown
# Sikutumwa kwa mtu yeyote
|
|
|
|
Mungu hakunituma kwa yeyote
|
|
|
|
# isipokuwa kwa kondoo waliopotea
|
|
|
|
Tazama 10:5
|
|
|
|
# alaikuja
|
|
|
|
mwanamke Mkanaani alikuja
|
|
|
|
# akainama
|
|
|
|
Hii inaonesha kuwa yule mwanake alikuwa akinyeynyekeza mbele za Yesu
|
|
|
|
# Siyo vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa
|
|
|
|
Yesu anamjibu mwanamke kwa kutumia mithali. Maana yake ni kwamba siyo sawa kuchukua kitu cha Wayahudi n a kuwapa watu wasio kuwa Wayahudi.
|
|
|
|
# mkate wa watoto
|
|
|
|
mkate unamaanisha chakula kwa ujumla
|
|
|
|
# mbwa wadogo
|
|
|
|
Wayahudi waliona mbwa kuwa ni wanyama najisi. hapa wanamanisha kama sura ya watu wasio Wayahudi
|