sw_tn/mat/15/24.md

594 B

Sikutumwa kwa mtu yeyote

Mungu hakunituma kwa yeyote

isipokuwa kwa kondoo waliopotea

Tazama 10:5

alaikuja

mwanamke Mkanaani alikuja

akainama

Hii inaonesha kuwa yule mwanake alikuwa akinyeynyekeza mbele za Yesu

Siyo vyema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa

Yesu anamjibu mwanamke kwa kutumia mithali. Maana yake ni kwamba siyo sawa kuchukua kitu cha Wayahudi n a kuwapa watu wasio kuwa Wayahudi.

mkate wa watoto

mkate unamaanisha chakula kwa ujumla

mbwa wadogo

Wayahudi waliona mbwa kuwa ni wanyama najisi. hapa wanamanisha kama sura ya watu wasio Wayahudi