sw_tn/mat/15/21.md

694 B

Maelezo kwa ujumla

Hii inaazisha habari y aYesu kumponya binti wa mwanamke Mkananayo

Yesu akatoka

Inamaanisha kuwa wanafunzi waliondoka na Yesu

Tazama, akaja mwanmke Mkanani

Kulikuwa na mwanamke Mkanaani aliyekuja kwa Yesu

Akaja mwanamke Mkanaani kutoka pande hizo

"mwanamke kutoka kundi la watu aliyeitw Mkaanani anayeishi katika eneo hilo.

Nihurumie

Kirai hiki kinamaanisha kuwa alikuwa akimuomba Yesu amponye binti yake.

Mwana wa Daudi

Yesu hakuwa Mwana wa Daudi kimwili, hii inaweza kutafsiriwa kama "wa kizazi cha Daudi"

binti yangu anateswa sana na pepo

Pepo linamtesa sana binti yangu

lakini Yesu hakumjibu neno

Hapa "neno" linamaanisha kile mtu asemacho