sw_tn/mat/15/18.md

431 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kufundisha mfano aliofundisha katika 15:12

vyote vitokavyo mdomoni

Hii inamaanisha kile ambacho mtu husema

katika moyo

Hapa "moyo" inamaanisha akili za mtu au ndani ya mtu.

uuaji

kuua mtu asiye na kosa

ushuhuda wa uongo

Kusema kitu juu ya mtu mwingine ambacho ni cha kuumiza na si cha kweli

bila kunawa mikono

Hii inamaansha mtu ambaye hajaosha mikono kwa desturi za wazee