forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
431 B
Markdown
24 lines
431 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kufundisha mfano aliofundisha katika 15:12
|
||
|
|
||
|
# vyote vitokavyo mdomoni
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kile ambacho mtu husema
|
||
|
|
||
|
# katika moyo
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" inamaanisha akili za mtu au ndani ya mtu.
|
||
|
|
||
|
# uuaji
|
||
|
|
||
|
kuua mtu asiye na kosa
|
||
|
|
||
|
# ushuhuda wa uongo
|
||
|
|
||
|
Kusema kitu juu ya mtu mwingine ambacho ni cha kuumiza na si cha kweli
|
||
|
|
||
|
# bila kunawa mikono
|
||
|
|
||
|
Hii inamaansha mtu ambaye hajaosha mikono kwa desturi za wazee
|