sw_tn/mat/15/15.md

620 B

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza mfano amabao amefundisha katika 15:12

kwetu

kwetu wanafunzi

bado hamuelewi

Yesu mfano kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. Pia kwakilisha cha "hamu" kimesisitizwa. Yesu hawezi kuwaamini wanafunzi wake kwa kutokuelewa. Nimekatishwa tamaa na ninyi wanafunzi wangu kwa kuwa hamjaelewa kile ninachofundisha.

Nanyi hamuoni kuwa kile kiendacho ... na kwenda chooni

Yesu anatumia swli kuwakemea wanafunzi kwa kutokuelewa mfano. "hakika mnaelewa ... kwenda chooni"

kiendacho mdomoni

hupitia mdomoni

chooni

Hii ni tafsida kwa eneo ambalo watu huzika uchafu wa mwili