forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
616 B
Markdown
24 lines
616 B
Markdown
# Mafaaarisayo walipolisikia lile neno walikwazika
|
|
|
|
Usemi huu uliwafanya Mafarisayo wachukie
|
|
|
|
# Kila mmea ambao baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa
|
|
|
|
Hiki ni kirai kinachomaanisha kuwa Mafarisayo si watu wa Mungu, kwa hiyo Mungu atawatoa
|
|
|
|
# Baba yangu wa mbinguni
|
|
|
|
Hiki ni cheo cha Yesu kinachoonesha uhusiano kati yake na Mungu
|
|
|
|
# watang'olewa
|
|
|
|
Baba yangu atawang'oa
|
|
|
|
# waacheni pekee
|
|
|
|
neno pekee linamaanisha Mafrarisayo
|
|
|
|
# mtu kipofu ... wataanguka shimoni
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa Mafarisayo hawajui amari za Mungu au jinsi ya kumpendeza Mungu Kwa hiyo, hawawezi kuwafundisha wengine jinsi ya kumpendeza Mungu
|