sw_tn/mat/15/12.md

616 B

Mafaaarisayo walipolisikia lile neno walikwazika

Usemi huu uliwafanya Mafarisayo wachukie

Kila mmea ambao baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa

Hiki ni kirai kinachomaanisha kuwa Mafarisayo si watu wa Mungu, kwa hiyo Mungu atawatoa

Baba yangu wa mbinguni

Hiki ni cheo cha Yesu kinachoonesha uhusiano kati yake na Mungu

watang'olewa

Baba yangu atawang'oa

waacheni pekee

neno pekee linamaanisha Mafrarisayo

mtu kipofu ... wataanguka shimoni

Inamaanisha kuwa Mafarisayo hawajui amari za Mungu au jinsi ya kumpendeza Mungu Kwa hiyo, hawawezi kuwafundisha wengine jinsi ya kumpendeza Mungu