forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
465 B
Markdown
12 lines
465 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaanza kuwafundisha makutano na wanafunzi wake juu ya kile kinachomtia mtu unajisi na kwa nini mMafarisayo na waandishi walikuwa wamekosea kumkosoa Yesu
|
|
|
|
# Sikilizeni na mfahamu
|
|
|
|
Sikilizeni kwa makini kile ninachosema ili muelewe maana yake.
|
|
|
|
# Kiingiacho mdomono ... kitokacho kinywani
|
|
|
|
Yesu anatofautisha kile ambacho mtu hula na kile asemacho. Yesu anamaanisha kuwa Mungu hujali zaidikile ambacho mtu husema kuliko kile ambacho hula
|