sw_tn/mat/15/10.md

465 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwafundisha makutano na wanafunzi wake juu ya kile kinachomtia mtu unajisi na kwa nini mMafarisayo na waandishi walikuwa wamekosea kumkosoa Yesu

Sikilizeni na mfahamu

Sikilizeni kwa makini kile ninachosema ili muelewe maana yake.

Kiingiacho mdomono ... kitokacho kinywani

Yesu anatofautisha kile ambacho mtu hula na kile asemacho. Yesu anamaanisha kuwa Mungu hujali zaidikile ambacho mtu husema kuliko kile ambacho hula