sw_tn/mat/15/01.md

660 B

Maelezo kw ujumla

Hapa Yesu anajibu hoja za Wayahudi

kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee?

wanafunzi wako hawaziheshimu taratibu amabzo mababu zetu walitupa

Mapokeo ya wazee

Hizi si sawa na sheria za Musa. haya ni mafundisho na tafsiri za sheria zilizotolewa na viongozi wa dini baada ya Musa

hawanawi mikono y ao

kunawa huku siyo tu kwa kusafisha mikono. Hii inamaanisha kunawa kwa desturi kutokana na taratibu za wazee. Hawaoshi mikono yao vizuri

Nanyi kwa nini mnaihalfu sheri ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu

Nami n aona kwamba mnakataa kuzitii sheria za Mungu ili tu mweze kufuata kile ambacho mababu zenu waliwafundisha