sw_tn/mat/14/22.md

531 B

Sentensi unganishi

Mistari ifuatayo inaelaza matukio yaliyotokea baada ya Yesu kuwalisha watu elfu tano

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inatoa historia juu ya muujiza amabo Yesu anataka kuuonesha juu ya kutumbea juu ya maji

Mara moja

"Punde tu baada ya Yesu kuwalisha watu wote"

ilipokuwa jioni

"baadaye jioni" au "giza lilipoingia"

bahari ikiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi

"na wanafunzi hahawezi kuiongoza mashua kwa sababu ya mawimbi makubwa"

kwani upepo ulikuwa wa mbisho

kwani upepo ulivuma kinyume nao