forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
531 B
Markdown
24 lines
531 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Mistari ifuatayo inaelaza matukio yaliyotokea baada ya Yesu kuwalisha watu elfu tano
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inatoa historia juu ya muujiza amabo Yesu anataka kuuonesha juu ya kutumbea juu ya maji
|
||
|
|
||
|
# Mara moja
|
||
|
|
||
|
"Punde tu baada ya Yesu kuwalisha watu wote"
|
||
|
|
||
|
# ilipokuwa jioni
|
||
|
|
||
|
"baadaye jioni" au "giza lilipoingia"
|
||
|
|
||
|
# bahari ikiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi
|
||
|
|
||
|
"na wanafunzi hahawezi kuiongoza mashua kwa sababu ya mawimbi makubwa"
|
||
|
|
||
|
# kwani upepo ulikuwa wa mbisho
|
||
|
|
||
|
kwani upepo ulivuma kinyume nao
|