sw_tn/mat/14/13.md

830 B

Sentensi unganishi

Mistari hii inaeleza jinsi Yesu alivyopokea taarifa za kuuawa kwa Yohana mbatizaji.

Maelezo kwa ujumla

Mistari hii inatoa historia yaju ya muujiza ambao Yesu anataka kuufanya wa kulisha watu elfu tano.

Naye

Neno hili limetumika hapa kama mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari hii.

ulipofahamu

" walposika kilichoteka kwa Yohana au waliposikia habari za Yohana

akajitenga

"aliondoka" au "alaienda mbali n a kundi

kutoka mahali pale

"kutoka eneo hilo"

wakati umati ulipofahamu

"wakati umati waliposikia kule Yesu alikokuwa ameenda

umati

"makutano ya watu" aua "kundi kubwa la watu"

kwa miguu

Hii inamaanisha kuwa wale watu walikuwa wkitembea

kisha Yesualikuja mbele zao akauona umati

Yesu alipokuja karibu na ufukwe akauona umati wa watu