sw_tn/mat/14/08.md

371 B

Baada ya kushauriwa na mama yake

baada ya mama yake kumpa maelekezo

kumwelekeza

"kumfundisha" au "kumwambia"

alisema

"binti wa Herodia alaisema kwa Herode"

kombe

sahani kubwa sana

mfalme alikuwa na sikitiko

ombilake lilimfanya mfalme asikitike

mfalme

"mfalme Herode"

aliamuru kwamba inapaswa ifanyike

"aliwaamuru watu wake wafanye alichosema"