forked from WA-Catalog/sw_tn
371 B
371 B
Baada ya kushauriwa na mama yake
baada ya mama yake kumpa maelekezo
kumwelekeza
"kumfundisha" au "kumwambia"
alisema
"binti wa Herodia alaisema kwa Herode"
kombe
sahani kubwa sana
mfalme alikuwa na sikitiko
ombilake lilimfanya mfalme asikitike
mfalme
"mfalme Herode"
aliamuru kwamba inapaswa ifanyike
"aliwaamuru watu wake wafanye alichosema"